UMUHIMU WA KUSALI

UMUHIMU WA KUSALI
Marafiki huwasiliana ili kuwa na uhusiano mzuri. Vivyo hivyo, Mungu hutuhimiza tusali ili tuwe na urafiki wa karibu naye. Anasema hivi: “Mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.” (Yeremia 29:12) Kadiri unavyoongea na Mungu, ndivyo ‘utakavyomkaribia [yeye], naye atakukaribia.’ (Yakobo 4:8) Biblia inatuhakikishia hivi: “Mungu yuko karibu na wote wanaomwita.” (Zaburi 145:18) Tunavyoendelea kusali kwa Mungu ndivyo uhusiano wetu pamoja naye utakavyozidi kuimarika.


“Mungu yuko karibu na wote wanaomwita.”—Zaburi 145:18

No comments

Post a Comment

Shajara Yetu © all rights reserved
MKATOIKI KIGANJANI by mitume technologies